Quantcast
Channel: PAMOJA BLOG
Browsing all 16398 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKULIMA WANAMDAI MWEKEZAJI MILONI 703 ALIZOWAKOPA ZABIBU TANGU MWAKA JANA...

 Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Godfrey Zambi akifafanua jambo wakati alipokuwa akizungumza na Wakulima wa Zao la Zabibu wanaomdai muwekezaji wa kiwanda cha Cetawico kinachowakopa zabibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHEZAJI WA ZAMANI WA TIMU YA SIMBA, GEBBO PETER AFARIKI DUNIA

 Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mchezaji wa zamani wa timu ya Simba na Taifa Stars, Gebo Peter kilichotokea usiku wa kuamkia leo (Juni 6 mwaka huu) katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: WANAFUNZI WA CHUO CHA USAFIRISHAJI CHA NIT WAFANYA VURUGU MUDA...

 Wanafunzi wakiwa wanapiga Makelele kushinikiza Kulipwa pesa zao Polisi wakiwa wakiwa wanaimarisha ulinzi  ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI Mmoja wa Mawaziri wa Serikali ya Wanafunzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII WA BONGO MOVIE, NISHA AWASHUKURU WADAU WAKE

Msanii wa Bongo Movie, Salma Jabu "nisha" awafungasha wenzake sokoni yasemekana msanii bora kunako tasnia ya filamu tanzania awafungasha tela wasanii wenzake sokoni sasa wanamtafuta kwa tochi amekuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JUNE 07, 2014

ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINIPata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMBASIA MALIY ATWAA TAJI LA REDD'S MISS TABATA 2014

 Redd's Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akitabasamu baada ya kutangazwa  rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha Tabata.Redd's Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akipunga mkono kwa mashabiki wake muda mfupi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILELE CHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI CHA FANA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA...

 Mgeni rasmi akiwa amewasili katika viwanja vya mnazimmoja kwaajili ya kuadhimisha siku ya mazingira kimkoa jijini dar es salaamMeza kuu wakiwa wamesimama kwaajili ya kupokea maadamano hapo jana tarehe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA MWANASOKA MAREHEMU GEBBO PETER WAAGWA LEO NYUMBANI KWAKE VINGUNGUTI,...

Mwili ukiwasili nyumbaniSehemu ya wachezaji mpira wa sasa na wazamani wakiwa wamesimama pembeni ya Jeneza lenye Mwili wa aliyekuwa Mchezaji wa Timu ya Simba miaka ya nyuma,Marehemu Gebbo Peter...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA PICHA MBALIMBALI ZA DIAMOND KUELEKEA TUZO ZA MTV LEO

Diamond akiwa kwenye sehemu tofauti mjini Durban, Afrika Kusini akiwa kwenye matayarisho ya Tuzo za MTV MAMAs.Fainali za tuzo za MTV MAMAs zikifanyika  siku ya leo Jumamosi June 7, 2014 mjini Durban,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZ MZEE SMALL AFARIKI DUNIA

Muigizaji mkongwe nchini, Said Ngamba maarufu kwa jina la Mzee Small amefariki dunia usiku huu akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar. Mzee Small amefariki kwa ugonjwa wa presha baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI TAREHE JUNE 08, 2014

  ENDELEA KUSOMA MAGAZETI ENGINE KWA KUBOFYA HAPA CHINIPata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA PICHA SITA ZA MADEREVA WA BODABODA WAKIMSINDIKIZA BODABODA MWENZAO...

Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND ASHINDWA KUTAMBA KWENYE TUZO ZA MTV MAMA, WATIZAME WALIOTWAA TUZO...

Diamond na Wema kwenye red carpet ya MTV MAMA Diamond ambaye pia alitumbuiza wimbo wake ‘My Number One’ remix akiwa na Davido, alikuwa ametajwa kuwania vipengele viwili ambavyo ni pamoja na muimbaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: YANAYOENDELEA KUJIRI NYUMBANI KWA MAREHEMU MZEE SMALL

 Mke wa marehemu Mzee Small, Bi. Fatuma Said akiwa na simanzi nzito.Wasani Jumanne Shabaan 'Made Matata', Mbembe (katikati) na Habib Mrisho 'Sumaku' (kulia) wakijadiliana jambo msibani.  ENDELEA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: MBUNGE JOSHUA NASSARI NA ANANDE NNKO WAFUNGA NDOA KATIKA KANISA LA...

Msafara wa gari chache majira ya saa 2:30 ulianza safari katika viwanja vya Usa-River ambako gari za maharusi zilikuwa zikipambwa mdogo mdogo zikapanda Kilima zikiwa na maharusi Joshua Nassari na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SITA WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA LORI MKOANI MBEYA

Basi la Ndenjela lililogongwa na kupinduka eneo la Nanyala MbeyaLori lililosababisha ajali likiwa limepinduka upande mwingine baada ya kuligonga basi la NdenjelaENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMATATU JUNE 09. 2014

     ENDELEA KUSOA MAGAZETI MENGUNE KWA KUBOFYA HAPA CHINI            Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZEE SMALL KUZIKWA KATIKA MAKABURI YA TABATA LEO

Mzee Small enze za uhai wakeMsanii maarufu wa maigizo, Said Ngamba ‘Mzee Small’ anatarajiwa kuzikwa leo saa 10 alasiri katika makaburi ya Tabata jijini Dar es Salaam, baada ya kufariki juzi usiku akiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: MADEREVA WA DALADALA WAGOMA KUSAFIRISHA ABIRIA KUTOKA STAND...

Hili ni moja ya Lori lilikuwa linatumika kusafirisha abiria kutoka Soko kuu kwenda UyoleENDELEA KUTIZAMA PICHA ZAIDI KWA KUOFYA HAPA CHINIEndelea kufuatilia hapaPicha na Mbeya yetu BlogPata habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAADA WA MATIBABU KWA MTOTO MAIMUNA YAHAYA

  Pichani ni Mtoto Maimuna Yahaya Msaada wa Matibabu kwa mtoto Maimuna Yahaya Mtoto Maimuna Yahaya (11) anayesoma shule ya Msingi ya watoto wenye mahitaji maalum (wenye ulemavu) ya Irente Rainbow...

View Article
Browsing all 16398 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>