Quantcast
Channel: PAMOJA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 16408

MWILI WA MTOTO NASRA WAAGWA KWENYE KIWANJA CHA JAMHURI NA KUZIKWA LEO

$
0
0
Mamia ya wakazi wa Mkoa wa Morogoro waliojitokeza Kuuga Mwili wa mtot Nasra
 Mwili wa mtot Nasra ukipelekwa makaburini Kuzikwa

 ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI

 Waombolezaji wakiwa Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro, kuaga mwili wa mtoto Nasra Mvungi.
 Mfanyabiashara, Al Saed Omary aliyefanikisha kuleta mwili wa marehemu Nasra kutoka Dar es Salaam.
 Waombolezaji wakiingia katika mabasi ya Abood, kwenda katika maziko.
 Mazishi ya mtoto Nasra yaliendelea makaburi ya Kola mkoani Morogoro.
 Mbunge Abdulaziz Abood akiweka udongo katika kaburi la marehemu Nasra na kuahidi kumfanyia hitma baada ya siku 40 tangu kuzikwa kwake.
Mfanyabiashara Al Saed Omar nae akiweka udongo katika kaburi la marehemu.

Picha kwa Hisani ya Father Kidevu Blog

Viewing all articles
Browse latest Browse all 16408

Trending Articles