Kuna aliyebanwa hapa zinafanyika jitihada za kuchimba kumwokoa. Inasikitisha na kutia matumaini kumwona aliyebanwa kuanzia kiuno kwenda miguuni naye anajitahidi kuchimba kwa mikono
![]()
Basi la Kampuni ya Hood Limited lenye namba za usajili T 159 AXM lililokuwa linatoka Mbeya kuelekea Arusha limepinduka eneo la Melela- Mlandizi, Mvomero mkoani Morogoro na kujeruhi watu kadhaa na kuua mtu mmoja. Basi hilo lilikuwa likijaribu kulikwepa gari lingine.
PICHA NA MAGGID MJENGWA