Quantcast
Channel: PAMOJA BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 16408

KASEBA AMCHAKAZA ALIBABA KWA K.O. RAUNDI YA 4

$
0
0

Bondia Japhert Kaseba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Alibaba Ramadhani wakati wa kugombania ubingwa wa Taifa uliofanyika Manzese Dar es salaam Kaseba alishinda kwa KO ya raundi ya nne ya mpambano huo 
Kanda kabongo akimuhuumia Japhert Kaseba

ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI

Bondia Omari Nampekecha 'peche boy' kushoto akipambana na hasani Kiware wakati wa mpambano huo nampekecha alishinda kwa pointi
Kaseba akiwa na familia yake pamoja na mashabiki baada ya kushinda mchezo wake

Bondia Pendo Njau kushoto akiwa na bondia Llulu Kayage wakati wa mpambano huo
mashabiki wakiangalia mpambano
Wapiganaji wa mpambano wa Kick Boxing kareem kutch kushoto akipambana na Hassani Juma 'Tata Boy' wakati wa mpambano huo kutch alishinda kwa point 


Wapiganaji wa mpambano wa Kick Boxing kareem kutch kushoto akipambana na Hassani Juma 'Tata Boy' wakati wa mpambano huo kutch alishinda kwa point picha nasuperdboxingcoach.blogspot.com

Viewing all articles
Browse latest Browse all 16408

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>