Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.

Hii ndiyo Hiace inavyoonekana mara baada ya kupata ajali

ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI




Kwa mujibu wa ripota wa mtandao huu aliyefika eneo hilo amesema ajali hiyo imetokea majira ya saa 11 jioni na abiria kadhaa wamejeruhiwa na kukumbizwa hospitali kwa matibabu zaidi huku abiria mmoja akihisiwa kufariki dunia katika ajali hiyo
Hizi ni taarifa za awali tunaendelea kufuatilia taarifa za ajali hiyo ili uzipate kwa uhakika, endelea kuwa nasi mara mara
Picha na Thade Expensive wa eddy blog, Moshi